TUMSIFU YESU KRISTO TAIFA LA MUNGU. KARIBUNI UPATE MAKALA, MAFUNZO SALA NA TAARIFA MBALI MBALI ZA KANISA KATOLIKI TANZANIA
MAZISHI MV NYERERE
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Shughuli ya Mazishi ya wapendwa wetu walioiaga dunia sept 20 ndio ipo katika taratibu ya kuhifadhiwa. Viongozi mbalimbali wa serikali, wananchi, na Viongozi wa dini na vyombo vya dola wanahudhuria shughuli hii.
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Comments
Popular posts from this blog
Sala kwa Mkatoliki ni nini hasa? Tunaposema sala tunamaanisha nini Sala ni kuongea na Mungu. Sala kwa Mkatoliki inajumuisha maombi, tafakari, ibada, taamuli, shukrani na sifa. Maana ya sala kwa Mkristo Mkatoliki sio kuomba tuu kama wanavyotafsiri watu wasio wakatoliki. Wengi wa wasio Wakatoliki wanaposema Sala wanamaanisha Maombi. Kwa hiyo kwa Mkatoliki, Sala ni zaidi ya Maombi. Ndiyo maana kwa mkatoliki kuna sala za namna mbalimbali kama vile za Tafakari, za Maombi za Sifa na za kushukuru. Mfano sala ya Atukuzwe Baba sio maombi bali ni sala ya kumtukuza Mungu kwa maana hiyo sio Maombi, ndiyo maana husaliwa baada ya sala au matukio fulani kama ishara ya kumtukuza Mungu na kutambua ukuu wa Mungu Yesu alifundisha tusali vipi? Kisha Yesu akawapa wanafunzi Wake mfano ili kuwaonyesha kuwa yawapasa kuomba pasipo kukata tamaa. 2Akawaambia, “Katika mji mmoja alikuwapo hakimu ambaye hakumwogopa Mungu wala kumjali mtu. 3Katika mji huo alikuwako mjane mmoja ambaye alikuwa ak...
(Hayati Mwl. Julius K. Nyerere) Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa raisi wa kwanza wa Tanzania, alizaliwa Butiama mkoani Mara mnamo tarehe 13 April 1922 na alifariki dunia 14 Oktoba 1999. Alikuwa mojawapo kati watoto 26 wa Nyerere Burito, chifu wa kabila la Wazanaki. Alipokuwa mtoto Nyerere alichunga mifugo ya babake; katika umri wa miaka 12 aliingia shule akitembea kilomita 30 hadi Musoma. Baada ya kumaliza shule ya msingi aliendelea kusom a shule ya wamisionari Wakatoliki huko Tabora. Katika umri wa miaka 20 alibatizwa akawa mkristo Mkatoliki hadi mwisho wa maisha yake. (Mama Maria Nyerere, mke wa Hayati baba wa Taifa) Mapadre wakaona akili yake wakamsaidia kusoma ualimu huko Makerere, Kampala, Uganda kuanzia 1943 - 1945. Makerere akaanzisha tawi la Umoja wa wanafunzi Watanganyika pia amejihusisha na tawi la Tanganyika African Association (TAA). Baada ya kumaliza masomo ya ualimu alirudi Tabora akifundisha shule ya St.Mary´s. Mwaka 1949 alipata skolashipu ya kwenda kusoma ...
Kwa nini tunakata tamaa? Katika maisha kila mmoja anakuwa na malengo fulani, na kama wakristo wote tunalo lengo moja la kuufukia ufalme wa Mungu. Katika safari hii wapo tulioanza nao ila kwa sababu kadha wa kadha wamerudi nyuma na wapo wanakaribia kurudi nyuma. Kitendo cha kuona hamna njia tena wala uwezekano wa kufanikisha jambo fulani twaweza kukiita kama kitendo cha kukata tamaa. Hali ya kutokutaka kuendelea wala kujaribu tena kufanya jambo hilo, kujihukumu nafsi yako na kutaka hata kutokukumbuka tena jambo hilo, kukosa kiu ya kujaribu tena. Huko ni kukata tamaa. Kuachana na elimu pia kuna yale malengo ya kimaisha mfano miito ya kimaisha na ila ya kanisa. Wapo waliofika ngazi fulani katika ndoto zao wakakata tamaa, wengine walifika hatua karibu na mafanikio kabisa mfano mwaka wa kichungaji n.k, ila kwa sababu kadha wa kadh wamerudi nyuma. Kwanini watu wanakata tamaa? 1.Kutokuwa na mipango ya kimaisha au kitu unachotaka kufanya. Ni jambo la kawaida sana kwa watu wengi ...
Comments
Post a Comment