MAZISHI MV NYERERE

Shughuli ya Mazishi ya wapendwa wetu walioiaga dunia sept 20 ndio ipo katika taratibu ya kuhifadhiwa. Viongozi mbalimbali wa serikali, wananchi, na Viongozi wa dini na vyombo vya dola wanahudhuria shughuli hii.

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA YA HAYATI BABA WA TAIFA MWL. JULIUS NYERERE

KWA NINI UKAKATA TAMAA?